NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,925
Nataka nifuge pet ikiwa ni kama kiumbe alieumbwa kutoka kwa muumba alietuumba hata sisi wanadamu na vingine vilivyomo ndani ya dunia.
Nao ni viumbe kama sisi wala si wa kuchukiwa, kunyanyaswa, kudharauliwa, n.k. kufanya matendo haya mabaya kwao ni sawa na kumdharau muumba aliyewaumba aliyetuumba pia,
Wanyama nao wana haki ya furaha, kutunzwa, kutibiwa, n.k.
Nilikuwa naomba ushauri, ni yupi bora nimfuge kama pet kati ya mbwa na paka.. msosi, matibabu, malazi, naweza kumudu.
Pia vingi tunavyoviita ni makosa ya wanyama huwa ni sisi wanadamu tuliopewa akili kuzidi hivi viumbe na kupewa mamlaka ya kuvitawala ndio huwa tunakosea kwa kujigeuza madikteta, umeweka samaki nje bila kizuizi chochote na unajua kuna paka, paka alieumbwa kula samaki abambikiwe vipi kosa la wizi ?nwanadamu wamehamia sehemu na kufyeka mapori yote yaliyowalisha nyani, wanaitwaje wezi wakianza kula mazao??
Nao ni viumbe kama sisi wala si wa kuchukiwa, kunyanyaswa, kudharauliwa, n.k. kufanya matendo haya mabaya kwao ni sawa na kumdharau muumba aliyewaumba aliyetuumba pia,
Wanyama nao wana haki ya furaha, kutunzwa, kutibiwa, n.k.
Nilikuwa naomba ushauri, ni yupi bora nimfuge kama pet kati ya mbwa na paka.. msosi, matibabu, malazi, naweza kumudu.
Pia vingi tunavyoviita ni makosa ya wanyama huwa ni sisi wanadamu tuliopewa akili kuzidi hivi viumbe na kupewa mamlaka ya kuvitawala ndio huwa tunakosea kwa kujigeuza madikteta, umeweka samaki nje bila kizuizi chochote na unajua kuna paka, paka alieumbwa kula samaki abambikiwe vipi kosa la wizi ?nwanadamu wamehamia sehemu na kufyeka mapori yote yaliyowalisha nyani, wanaitwaje wezi wakianza kula mazao??