Mm ni mjasiliamari mtarajiwa, natarajia kuanzisha biashara ya kukodisha pikipiki Kwa mkataba. Natarajia kuanza na pikipiki 10 ambazo nitawapatia vijana walio katika vikundi.
Nitawapatia Kwa mkataba wa miezi kumi na tatu, na baada ya hapo pikipiki itakuwa Mali yake, mfumo wa biashara hii nataka niufanye Kwa njia ya kuwa na kampuni.
Sasa naomba ushauri Kwa watalaam na wadau wenye uzoefu na biashara hii wanipe mawazo yao ya namna ya kufungua kampuni ya Aina hiyo. Pia utaratibu wa kisheria katika biashara ya Aina hiyo.
Nitawapatia Kwa mkataba wa miezi kumi na tatu, na baada ya hapo pikipiki itakuwa Mali yake, mfumo wa biashara hii nataka niufanye Kwa njia ya kuwa na kampuni.
Sasa naomba ushauri Kwa watalaam na wadau wenye uzoefu na biashara hii wanipe mawazo yao ya namna ya kufungua kampuni ya Aina hiyo. Pia utaratibu wa kisheria katika biashara ya Aina hiyo.