Wakuu habarini?naombeni ushauri wa kufanya biashara ya mahindi kutoka mbeya mpaka mwanza.
Ni hatua zipi za kiserikali natakiwa kuzifuata ili niweze kupata kibali cha biashara iyo.
Pia mwenye uzoefu wa usafiri naombeni mnisaidie gharama zinakuwaje .
Karibuni sana kwa mawazo yenu