Naombeni ushauri wa biashara

Naombeni ushauri wa biashara

pet geo pet

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2018
Posts
508
Reaction score
788
Wakuu habarini?naombeni ushauri wa kufanya biashara ya mahindi kutoka mbeya mpaka mwanza.
Ni hatua zipi za kiserikali natakiwa kuzifuata ili niweze kupata kibali cha biashara iyo.
Pia mwenye uzoefu wa usafiri naombeni mnisaidie gharama zinakuwaje .
Karibuni sana kwa mawazo yenu
 
Wakuu habarini?naombeni ushauri wa kufanya biashara ya mahindi kutoka mbeya mpaka mwanza.
Ni hatua zipi za kiserikali natakiwa kuzifuata ili niweze kupata kibali cha biashara iyo.
Pia mwenye uzoefu wa usafiri naombeni mnisaidie gharama zinakuwaje .
Karibuni sana kwa mawazo yenu
Lengo lako uuze mahindi au uuze unga wa mahindi unaousaga mwenyewe
 
Back
Top Bottom