Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Ukistaajabu ya kilichomtoa kanga manyoya, utayaona maajabu ya fisimaji kubugia ngamia..Nisaidie
majini wa faida kama lile la kusugua taa washakufa sahizi wamebaki wale wa ku block harakati zako wajinga wajinga tu 😀Mkuu laki tano mbona sadaka tu mimi nimetoa juzi kumsaidia mtu ambaye hata sitarajii kukutana naye?
Yani binti kadanga tu, kanikuta mkao wa kutoa sadaka, nikampa matakwa yake kama hadithi jini la kusugua taa lile.
Na hapo kuna wengine wawili watu nawajua niliwapiga laki tno tano hivyo hivyo, katika wiki moja tu.
Pesa maua, hasara maisha.
Na hayo mapenzi mbona kuna wengine mamilioni wapo?
Hahaa.majini wa faida kama lile la kusugua taa washakufa sahizi wamebaki wale wa ku block harakati zako wajinga wajinga tu [emoji3]
mimi nimekazia hapa hapaHahaa.
Nimesema kitafsida tu mkuu.
jaribu kwa kalumanzilaPoleni na misukosuko ya maisha ya kila siku. Kila mtu atakufa hata Samia Suhuhu nae ataoza maana ni mwanadamu pia.
Anyway iko hivi, Kuna binti nampenda kupitiliza ila ameniambia wazi kuwa hanitaki, amerudia tena kuwa hanitaki.
Nanukuu "we mkaka nimekwambia sikutakiiii mbona unalazimisha achana na mimi". Mwisho wa nukuu. Jamani ukweli ni kuwa huyu binti Tupo nae mtaa mmoja apa tabata ni mzuri haijawahi tokea ila sijawahi hata kuonja tunda lakini Sasa Kala pesa zangu nyingi sana yani ni zaidi ya laki tano.
Naombeni ushauri wa haraka jamani msilete utani wanajukwaa, nawaaminia saana hiki ni kikosi cha intelligence. Asante
Vipi huamini amaMhhhh
Ndowapijaribu kwa kalumanzila
mganga wa jadiNdowapi
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Ukistaajabu ya kilichomtoa kanga manyoya, utayaona maajabu ya fisimaji kubugia ngamia..
Ukitaka kunywa unawapanga wana wanakuwai na vijimaziwa.Nikinywa sumu nakufa kabisa mkuu, sitanii
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Wataniona mshambaUkitaka kunywa unawapanga wana wanakuwai na vijimaziwa.
Skendo inaenea mtaani binti anasikia basi atajisikia faraja atajua uko na upendo wa kweri.
Mwisho Wa siku chuma inaliwa na kutu
Tuongee pm basimganga wa jadi
Duh [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Achana naye endelea na maisha yako hiyo hela ipotezee kuna maisha baada ya kuachwa.
Duh [emoji1787] [emoji1787]Huyo demu mimi ndo nasimamia ukucha kumuweka sawa, Sasa amesharidhika na mimi,hana mpango na wewe, Kwanza Achana naye.
Kasema hanitaki. Kuwa mwelewa acha ligilaki 5 yote umeliwaje na hujala utamu mzee?? pole ila ukiweza mpe fundisho kwa kujifanya mtu mwingine anza kumchatisha weka mtego mkutane hata hotel mnyooshe kama una hela haruki
njooTuongee pm basi