Naombeni ushauri wa haraka kuhusu huyu binti

Naombeni ushauri wa haraka kuhusu huyu binti

Poleni na misukosuko ya maisha ya kila siku. Kila mtu atakufa hata Samia Suhuhu nae ataoza maana ni mwanadamu pia.

Anyway iko hivi, Kuna binti nampenda kupitiliza ila ameniambia wazi kuwa hanitaki, amerudia tena kuwa hanitaki.

Nanukuu "we mkaka nimekwambia sikutakiiii mbona unalazimisha achana na mimi". Mwisho wa nukuu. Jamani ukweli ni kuwa huyu binti Tupo nae mtaa mmoja apa tabata ni mzuri haijawahi tokea ila sijawahi hata kuonja tunda lakini Sasa Kala pesa zangu nyingi sana yani ni zaidi ya laki tano.

Naombeni ushauri wa haraka jamani msilete utani wanajukwaa, nawaaminia saana hiki ni kikosi cha intelligence. Asante

“Jamani ukweli ni kuwa huyu binti Tupo nae mtaa mmoja apa tabata ni mzuri haijawahi tokea” hapa ndipo penye tatizo hujatembea ipasavyo! Ni tamaa tu uliyonayo juu yake mkuu wapo wengi wazuri kuliko hata yeye!
 
Nimesoma halafu nikarudi kuangalia identity nikaona mpwayungu village,,nikaona nikaona nimuachie Smart911 aje atoe ule ushauri wake unaishia " siku hizi ni wabishi"
 
Hakuna kitu kinakera kama tongozo ng'ang'anizi toka kwa mwanaume usiyempenda.........

Ila.na yeye kisa cha kula hela zako...anyway hakukuomba ni kiherehere chako


Kunywa maji mengi songa mbele.....
 
Mkuu bado haujajinyonga tu ila samahani mkuu nauza kama zile ngumu kabisa zenyewe uwakika na ufanisi wa kazi yako naomba uniungishe kwanza kabla hujafa
 
We kweli hamnazo badala ukamnyonge aliyekula hela zako ww unataka ukajinyonge wewe
[emoji23][emoji23][emoji23]sasa kukataliwa tu analia Lia hivi ataweza kumnyonga[emoji16]
 
Hujaumia kukataliwa iliyokuuma ni hela na yeye amekulaje hela ya mtu asiempenda [emoji16]
inawezekana umekuwa kero hebu punguza mazoea na kumsumbua ikiwa riziki yako atakuja tu mwenyew
 
Poleni na misukosuko ya maisha ya kila siku. Kila mtu atakufa hata Samia Suhuhu nae ataoza maana ni mwanadamu pia.

Anyway iko hivi, Kuna binti nampenda kupitiliza ila ameniambia wazi kuwa hanitaki, amerudia tena kuwa hanitaki.

Nanukuu "we mkaka nimekwambia sikutakiiii mbona unalazimisha achana na mimi". Mwisho wa nukuu. Jamani ukweli ni kuwa huyu binti Tupo nae mtaa mmoja apa tabata ni mzuri haijawahi tokea ila sijawahi hata kuonja tunda lakini Sasa Kala pesa zangu nyingi sana yani ni zaidi ya laki tano.

Naombeni ushauri wa haraka jamani msilete utani wanajukwaa, nawaaminia saana hiki ni kikosi cha intelligence. Asante
Daaaah laki tano imeenda, sema poa tu fanya kama umetoa msaada tu
 
Hujaumia kukataliwa iliyokuuma ni hela na yeye amekulaje hela ya mtu asiempenda [emoji16]
inawezekana umekuwa kero hebu punguza mazoea na kumsumbua ikiwa riziki yako atakuja tu mwenyew
Duh [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] kero tena
 
“Jamani ukweli ni kuwa huyu binti Tupo nae mtaa mmoja apa tabata ni mzuri haijawahi tokea” hapa ndipo penye tatizo hujatembea ipasavyo! Ni tamaa tu uliyonayo juu yake mkuu wapo wengi wazuri kuliko hata yeye!
Sawa ila kwa macho yangu ya nyama nimemuona yeye
 
Back
Top Bottom