Naombeni ushauri wa haraka kuhusu huyu binti

Wewe ndio bwege namba mbili ....na nyie ndio mnadanganyana Sana humu kuwa ukiwa na Ela kila kitu kimeisha .


Wanawake wa hivyo wanaliwa kwa timing mkuu sio Kama hivyo mnavyo fanya nyie wazembe .....Hadi hapo kwa njia halali umesha poteza pambano.
 
Unaliwaje pesa kizembe

Ndio shida ya kukosa vikao mnashindwa kuwekeza


Capitalist never work under loss
 
Wewe ndio bwege namba mbili ....na nyie ndio mnadanganyana Sana humu kuwa ukiwa na Ela kila kitu kimeisha .


Wanawake wa hivyo wanaliwa kwa timing mkuu sio Kama hivyo mnavyo fanya nyie wazembe .....Hadi hapo kwa njia halali umesha poteza pambano.
Dah [emoji22]
 
Nilikuwa napigwa mizinga ya kusuka, Mala simu kioo kimekufa, Mala nguo hana, Mala simu imeibiwa, Mala hali ugali anataka chips kuku kila siku. Mwishowe nataka tunda akasema ananiheshm kama kaka angu hivyo tuwe kaka na Dada tu
Hizo pesa za kusuka na kubadili vioo vya simu huwa wanazifata magetoni

Epuka kumtumia pesa mwanamke inabidi aifuate mwenyewe geto

Ulifeli pakubwa sana aisee
 
Tabu ya wanawake ndo hiyo, kwao Ukweli ni Mwiko, Uongo daima mbele,...
Kuna mmoja huko bushi katolewa Mahari, Harusi imepangwa Kakubali na anaona kabisa, Walivyompeleka Saluni hakurudi tena,

Baada ya harusi kuvurugika ndo anaonekana, Kuitwa ili wamuulize, anasema kiukweli huyu bwana alimpendea hela tu, lakini ana mtu wake anaempenda, kwa hiyo alikimbia kwa kuwa hataki kumilikiwa moja kwa moja.

Kwa hali kama hiyo Usimtoe mtu Duniani kweli? I swear, atakufa mtu.

Haijaisha, Itaendelea..........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…