Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #61
Nikinywa sumu nakufa kabisa mkuu, sitaniiMkuu kunywa sumu,akisikia umekunywa sumu ndio atakuelewa.
Maana wanasema kenge hasikii mpaka atoke damu puani
Mkuu sitanii, acha masihalakajiue iwe fundisho kwa huyo mwanamke. Andika wosia weka mfukoni tangulia mbere
Mkuu acha utani, sifanyi utani hapa iam very seriousNakushauri uende haja kubwa kwa ufasaha kabla ya kujinyonga,... wenzako wote waliojinyonga walitupa shida ya kuwatoa kwenye kitanzi wakiwa na harufu Kali ya makimba.....
Dah [emoji22]Hauna faida, we endelea tu, halafu bado shuruba za Jehanam
Kajinyonge ili uepushe dunia na kupata kizazi cha wanaume wajinga kama wwPoleni na misukosuko ya maisha ya kila siku. Kila mtu atakufa hata Samia Suhuhu nae ataoza maana ni mwanadamu pia.
Anyway iko hivi, Kuna binti nampenda kupitiliza ila ameniambia wazi kuwa hanitaki, amerudia tena kuwa hanitaki.
Nanukuu "we mkaka nimekwambia sikutakiiii mbona unalazimisha achana na mimi". Mwisho wa nukuu. Jamani ukweli ni kuwa huyu binti Tupo nae mtaa mmoja apa tabata ni mzuri haijawahi tokea ila sijawahi hata kuonja tunda lakini Sasa Kala pesa zangu nyingi sana yani ni zaidi ya laki tano.
Naombeni ushauri wa haraka jamani msilete utani wanajukwaa, nawaaminia saana hiki ni kikosi cha intelligence. Asante
We kumbe hayawaniNiko seriously mkuu kama una balance kidogo tuongee ntakupunguzia bei ya jeneza kaka halafu msalaba unapewa bure kabisa
Wababu wahuni ndio tunaifanya dunia kuwa mahali pazuri kuliko paradise. Ñext time usiwekeze moyo wako kwa mademu, wekeza kucha na nywele, hata ukivikata vinaota. Moyo unauma sana aiseeNilikuwa nakuheshim saana na nilipoona komenti yako nikapata tabasamu, kumbe naww ni muhuni tu
Relax, na amini kuwa hiyo ni stage katika mapenzi, wote humu ndani wanaume kwa wanawake tumewahi kukataliwa na wale tuliowapenda sana.Poleni na misukosuko ya maisha ya kila siku. Kila mtu atakufa hata Samia Suhuhu nae ataoza maana ni mwanadamu pia.
Anyway iko hivi, Kuna binti nampenda kupitiliza ila ameniambia wazi kuwa hanitaki, amerudia tena kuwa hanitaki.
Nanukuu "we mkaka nimekwambia sikutakiiii mbona unalazimisha achana na mimi". Mwisho wa nukuu. Jamani ukweli ni kuwa huyu binti Tupo nae mtaa mmoja apa tabata ni mzuri haijawahi tokea ila sijawahi hata kuonja tunda lakini Sasa Kala pesa zangu nyingi sana yani ni zaidi ya laki tano.
Naombeni ushauri wa haraka jamani msilete utani wanajukwaa, nawaaminia saana hiki ni kikosi cha intelligence. Asante
Mganga wa nini wee wape wana laki nne wakamzabue makofi kadhaaMkuu naomba msaada wa kumpata hata mganga wa kienyeji
Tafuta hela, tafuta mpenzi mwingine.Mkuu inauma. Amini inaumaaa
Sawa mkuu nipo tayari Asante sana, naomba ushauri mzito wa kumpata huyu bintiKwanza futa wazo la kujinyonga ili tuwe huru kukushirikisha mkuu
Mpaka Nampa laki tano inamana hayo ni Mavi au [emoji35]mbona unakuwa Lofa naweweTafuta hela, tafuta mpenzi mwingine.
... Mbaya zaidi kuna watu uliowazidi kila kitu kwa status unasikia wanakula kimasihara tu.Poleni na misukosuko ya maisha ya kila siku. Kila mtu atakufa hata Samia Suhuhu nae ataoza maana ni mwanadamu pia.
Anyway iko hivi, Kuna binti nampenda kupitiliza ila ameniambia wazi kuwa hanitaki, amerudia tena kuwa hanitaki.
Nanukuu "we mkaka nimekwambia sikutakiiii mbona unalazimisha achana na mimi". Mwisho wa nukuu. Jamani ukweli ni kuwa huyu binti Tupo nae mtaa mmoja apa tabata ni mzuri haijawahi tokea ila sijawahi hata kuonja tunda lakini Sasa Kala pesa zangu nyingi sana yani ni zaidi ya laki tano.
Naombeni ushauri wa haraka jamani msilete utani wanajukwaa, nawaaminia saana hiki ni kikosi cha intelligence. Asante
Nishauri ndugu naangamiaLabda juu ya kaburi utanipenda mimi nikiwa sina uhai hisia zangu haziheshimiwi najidharau sifai ni heri ya upofu wa macho kuliko nnayoyaona umeruhusu mboni zangu kumwaga machozi,
Ila barakhah alikuwa anaimba sana mkuu kabla ya kufanya maamuzi sikiliza siwezi ya barakha itakupunguzia machungu.