Naombeni ushauri wa haraka kuhusu jambo hili

Naombeni ushauri wa haraka kuhusu jambo hili

UMUNYU

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2017
Posts
726
Reaction score
564
Nimejipiga nimepata kaeneo kakujenga katikati ya makazi ya watu wengine! Kulingana na udogo wake nimetenga kuwa "kanyumba"kangu ka kuishi kachukue eneo la ukubwa wa futi 40 urefu kwa futi 25 upana.

Ninaombeni ushauri hivi kwa ukubwa huo ninaweza kupata nyumba ya vyumba vingapi ikiwa nyumba itakuwa na kila kitu ndani!Kumbuka nimepata eneo hilo Baada ya kutoa eneo la fensi,parking ya gari,eneo la kuchimba shimo la maji taka.

Hivyo eneo nililotaja ni la nyumba tu!
 
Nimejipiga nimepata kaeneo kakujenga katikati ya makazi ya watu wengine!Kulingana na udogo wake nimetenga kuwa "kanyumba"kangu ka kuishi kachukue eneo la ukubwa wa futi 40 urefu kwa futi 25 upana!Ninaombeni ushauri hivi kwa ukubwa huo ninaweza kupata nyumba ya vyumba vingapi ikiwa nyumba itakuwa na kila kitu ndani!Kumbuka nimepata eneo hilo Baada ya kutoa eneo la fensi,parking ya gari,eneo la kuchimba shimo la maji taka!Hivyo eneo nililotaja ni la nyumba tuuu!!!
Site ipo sehem gan tufany kaz io boss
 
Nimejipiga nimepata kaeneo kakujenga katikati ya makazi ya watu wengine! Kulingana na udogo wake nimetenga kuwa "kanyumba"kangu ka kuishi kachukue eneo la ukubwa wa futi 40 urefu kwa futi 25 upana.

Ninaombeni ushauri hivi kwa ukubwa huo ninaweza kupata nyumba ya vyumba vingapi ikiwa nyumba itakuwa na kila kitu ndani!Kumbuka nimepata eneo hilo Baada ya kutoa eneo la fensi,parking ya gari,eneo la kuchimba shimo la maji taka.

Hivyo eneo nililotaja ni la nyumba tu!
Oom
 
Back
Top Bottom