Habari zenu naombeni mnishauri nmetengeneza Contena kubwa la saiz ya chumba kimoja cha saizi sasa nmefikiria biashara ya kufanya kwenye ilo contena ila kuna mtu kanipa wazo kuwa nilipeleke maeneo ya ng'ong'ona udom nilifanye salon ya kiume ndo Bdo nafikiria ilo wazo, naombeni wakuu na nyie mnisaidie mawazo yenu juu ya hili natanguliza shukrani