habarini wana jamiiforums, poleni na majukumu ,ombi langu ni kutaka kupata ushauri kwa hili ninamdogo wangu wa kiume ni mtumishi serikalin ,kwa bahati mbaya alikuwa anauhusiano wa kimapenzi na mwanafunzi wa kidato cha tatu kuelekea kidato cha nne na akampa ujauzito,ndugu wa huyo binti walikuja juu xana kiasi cha kumpiga binti kumlazimisha amtaje muhusika lakni binti aligoma katu katu kutaja, japo mdogo wangu aliendelea kutoa huduma zote muhm kisiri mpaka akajifungua na anamtoto wa miezi minne lakini mazingira anayoishi ni magumu mno kimaisha lengo letu ni kutaka kumchukua na ikiwezekana amuoe,xaxa hofu yetu kubwa tukijionesha kwa ndugu zake wanaweza tufungulia kesi? au vyovyote xo tunaomba ushauri kwa hli tufanyaje,asanten