Naombeni ushauri wa tiba ya tatizo hili

Naombeni ushauri wa tiba ya tatizo hili

SPACE CADET

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2022
Posts
2,280
Reaction score
3,555
Waku za sahizi asee nimekuja hapa kuomba ushauri wenu kidogo kwa ambae atakuwa na wazo zuri

Picha inaanza mimi ni mwanaume mtu mzima wa miaka 20.

Changamoto yangu ni kuwa mapumb* yangu ni makubwa sana wakuu inaniwia vigumu hata nikifanya mazoezi hasa hasa ya kuruka maana yanakuwa yananesa nesa kama kitenesi hivyo inabidi niyashikilie au niyafunge na nguo

Mda mwingine hata nikitembea au nikikaa vibaya nahisi kama mzigo kwangu 🤔🤔 😒. Na nikikaa vibaya nahisi kama nayakandamiza sasa wanangu naombeni mnisaidie kama kuna mtu anajua hata mitishamba au dawa yoyote ya kupunguza size ya mapumb* anishauri hapa.

Asanteni sana muwe na wiki njema 😶
 
Hii noma 😳😳😟😔
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    10.8 KB · Views: 8
Waku za sahizi asee nimekuja hapa kuomba ushauri wenu kidogo kwa ambae atakuwa na wazo zuri

Picha inaanza mimi ni mwanaume mtu mzima wa miaka 20.

Changamoto yangu ni kuwa mapumb* yangu ni makubwa sana wakuu inaniwia vigumu hata nikifanya mazoezi hasa hasa ya kuruka maana yanakuwa yananesa nesa kama kitenesi hivyo inabidi niyashikilie au niyafunge na nguo

Mda mwingine hata nikitembea au nikikaa vibaya nahisi kama mzigo kwangu [emoji848][emoji848] [emoji19]. Na nikikaa vibaya nahisi kama nayakandamiza sasa wanangu naombeni mnisaidie kama kuna mtu anajua hata mitishamba au dawa yoyote ya kupunguza size ya mapumb* anishauri hapa.

Asanteni sana muwe na wiki njema [emoji55]
Jaribu kufika kituo cha afya kilicho karibu nawe ukapate ushauri wa kitabibu isije kuwa una ngiri maji ama tayari busha limeshaanza kukua
 
Yani kama umezaliwa hivyo maana yake hayo ndiyo maumbile yako ukitaka yabadilike you must opt for plastic surgery
 
Waku za sahizi asee nimekuja hapa kuomba ushauri wenu kidogo kwa ambae atakuwa na wazo zuri

Picha inaanza mimi ni mwanaume mtu mzima wa miaka 20.

Changamoto yangu ni kuwa mapumb* yangu ni makubwa sana wakuu inaniwia vigumu hata nikifanya mazoezi hasa hasa ya kuruka maana yanakuwa yananesa nesa kama kitenesi hivyo inabidi niyashikilie au niyafunge na nguo

Mda mwingine hata nikitembea au nikikaa vibaya nahisi kama mzigo kwangu [emoji848][emoji848] [emoji19]. Na nikikaa vibaya nahisi kama nayakandamiza sasa wanangu naombeni mnisaidie kama kuna mtu anajua hata mitishamba au dawa yoyote ya kupunguza size ya mapumb* anishauri hapa.

Asanteni sana muwe na wiki njema [emoji55]
Kama hayaumi achana nayo.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Waku za sahizi asee nimekuja hapa kuomba ushauri wenu kidogo kwa ambae atakuwa na wazo zuri

Picha inaanza mimi ni mwanaume mtu mzima wa miaka 20.

Changamoto yangu ni kuwa mapumb* yangu ni makubwa sana wakuu inaniwia vigumu hata nikifanya mazoezi hasa hasa ya kuruka maana yanakuwa yananesa nesa kama kitenesi hivyo inabidi niyashikilie au niyafunge na nguo

Mda mwingine hata nikitembea au nikikaa vibaya nahisi kama mzigo kwangu 🤔🤔 😒. Na nikikaa vibaya nahisi kama nayakandamiza sasa wanangu naombeni mnisaidie kama kuna mtu anajua hata mitishamba au dawa yoyote ya kupunguza size ya mapumb* anishauri hapa.

Asanteni sana muwe na wiki njema 😶
Huo ukubwa umeanza sasa au toka zamani?
 
Back
Top Bottom