Asante mkuu kwa ushauri mzurKama huna uhakika wa kupata pesa nyingine in a near future basi fanya biashara and viceversa is true
Nilikuwa na kaz mkataba wake umemalzkaTumia hiyo 4 millions kumalizia nyumba yako na kisha endelea na kile kilicho kufanya ukaipata hiyo 4 millions ili upate mtaji.
Okay....Nilikuwa na kaz mkataba wake umemalzka
Asante kwa ushauri wako mkuuOkay....
Kama nyumba imepanda hadi kwenye lenta, basi nyenyua hanam kwa kiasi cha vyumba viwili, kisha paua hivyo vyumba kwa mtindo wa sloop, weka mlango mmoja wa grill ambao utaweza kucover hivyo vumba mbili na madirisha mbili, na hakikisha unatumia pesa isiyo zidi 2 millions. Baada ya hapo hiyo 2 millions inayo baki hakikisha unaanza biashara ndogo kwa nusu ya pesa ulionayo (1,000,000) na tunza nusu (1,000,000) for emergency.
Nmekuelewa mkuuKwamfano:-
1. Kumalizia hanam ya room mbili kwa mtindo wa sloop itahitaji tofali sio zaidi ya 150 ambazo zitagharimu 150,000.
2. Kuzijenga tofali 150 itahitaji comment mifuko 2 ambayo itagharimu 30,000.
3. Lori 2 za mchanga ambao utajengea hanam na kupiga ripu pamoja na sakafu 200,000.
4. Madirisha mbili na mlango moja wa grill itakugharibu 400,000
5. Cement miko 7 ambazo zitatosha kupiga ripu na sakafu za chumba mbili, zitagharimu 100,000.
6. Mbao kwaajili ya kecho ya bati la slopu pamija na misumari itakugharimu 200,000.
7. Bati 24 za futi sita kilamoja, zitagharimu walau 400,000
8. Ufundi na mengineyo kadiria 500,000
Jumla ya pesa itakuwa umetumia ni walau shilingi 1,980,000