Mmeshindaje wakuu
Nimeanzisha ujenzi wa nyumba tangu mwaka Jana nyumba imeishia kwenye lenta pesa zikaniishia.
Sasa nimejichanga nimepata milion 4 nawaza sijuwi nimalizie nyumba yangu halafu niizeke maana mkoani kwetu ujenzi ni gharama nafuu kidogo au nifanye biashara ili niweze kuizalisha ili baadae nimalizie nyumba yangu, sina biashara yeyote kwa sasa naombeni ushauri wenu wakuu.
Nimeanzisha ujenzi wa nyumba tangu mwaka Jana nyumba imeishia kwenye lenta pesa zikaniishia.
Sasa nimejichanga nimepata milion 4 nawaza sijuwi nimalizie nyumba yangu halafu niizeke maana mkoani kwetu ujenzi ni gharama nafuu kidogo au nifanye biashara ili niweze kuizalisha ili baadae nimalizie nyumba yangu, sina biashara yeyote kwa sasa naombeni ushauri wenu wakuu.