Martin Mhina
Senior Member
- Jul 24, 2013
- 169
- 37
naamini mko poa xna wakuu,mimi nimechaguliwa chuo cha ualimu cha Ilonga morogor na mwisho wa kuripoti chuon hapo ni tar 28 agost lakin nilituma maombi wizara ya afya ktk diproma ya clinical medicine but post zake hazieleweki zinatoka lini nami napenda afya so nifanyeje kama post za afya zitachelewa kutoka wakuu? nawaclisha.