Ni matumaini yangu kuwa mu wazima!
Ni hivi mi nina tatizo la kifua linanisumbua kwa muda sasa.
kifua kinauma kwa ndani upande wa kulia hii hutokea nikiwa nataka kuamka kama nimelala au nimekaa kwenye sofa, hasa nikiwa sehem za baridi.
nimeenda hospitali (muhimbili) nikapiga x- rays haujaonekana ugonjwa wowote,zaidi niliambiwa kuwa nina alregic chest, haya majibu niliwahi kupewa pia nilipoenda kupima hospitali moja iko mwenge.
Nilipokuwa morogoro nako nilipiga x-rays hawakuona ugonjwa pia.
Swali langu ni hili.
kama ugonjwa hauonekani sasa naumwa kitu gani. na hiyo alregic chest haina dawa maana wao(doctors) wananipa antibiotic nikameze ambazo nazo hazijanisaidia.
Nawasilisha
Ni hivi mi nina tatizo la kifua linanisumbua kwa muda sasa.
kifua kinauma kwa ndani upande wa kulia hii hutokea nikiwa nataka kuamka kama nimelala au nimekaa kwenye sofa, hasa nikiwa sehem za baridi.
nimeenda hospitali (muhimbili) nikapiga x- rays haujaonekana ugonjwa wowote,zaidi niliambiwa kuwa nina alregic chest, haya majibu niliwahi kupewa pia nilipoenda kupima hospitali moja iko mwenge.
Nilipokuwa morogoro nako nilipiga x-rays hawakuona ugonjwa pia.
Swali langu ni hili.
kama ugonjwa hauonekani sasa naumwa kitu gani. na hiyo alregic chest haina dawa maana wao(doctors) wananipa antibiotic nikameze ambazo nazo hazijanisaidia.
Nawasilisha