Naombeni ushauri wana jf

Naombeni ushauri wana jf

Shabby kng

Member
Joined
Jul 4, 2013
Posts
41
Reaction score
6
Mimi mwaka jana nilifanya mtihani kidato cha sita na matokeo yakawa hiv Hist=F, geography=F , english=E , gs=S na mwaka huu nilivorudia matokeo yakawa hivi hist=E geog=c je wanajamvi nikiomba kwa hiyo E yangu moja ya mwaka jana na C ya mwaka huu ntaweza kupata chuo cha shahada angalau hata education naombeni msaada wenu wanajamvi msitukane mnishauri
 
Back
Top Bottom