Naombeni ushauri wanajamii...

Mfate hukohuko songea mkayamalize hakuna njia nyingne.
 
Sasa umbali huo alionaje hayo mazungumzo yako na ex wako?
 
Pole sana.... Jikaze ndo ukubwa huo
Me naamini nafasi kweny maisha ni moja tu
Hakuna nafasi mbili kweny maisha
Japokua ningekua mim nisingekublock, ningetafuta njia mujarabu ya kukuumiza na kukutesa kihisia
 
Kuna demu nimelala nae hapa anakata simu kila dakika, then naona kabloku namba alafu naona anambloku mtu Instagram, Facebook, Twitter, WhatsApp, sijui huyo jamaa kamuuzi nini hapa songea.
Mwanangu huu utani wa siliaziii 😂
 
Nakupa talaka kwa shingo upande ooohh oooh kwa shinho upandee

Mapenzi mapya yanatoka lini nataka ni apply tena jaman
 
Bado a nakupenda huyo,ukiona demu ana hasira na wewe ujue anakupenda ila ukiona hana hata hasira juu ya ulichomfanyia jua hauna chako hapo.

Pili demu akiwa anakublock block hivi iko siku ataku unblock akishakumis.

Tulia tuliiiiiiii wala uspigekwa namba ngeni atajileta mwenyewe.
 
Hata ningekua mimi ningekasirika na inaonekana bado unampenda Ex wako ndio sababu hukomi kuwasiliana nae. Mimi sina hata ushauri nikupe tu pole.

Jaman kuwasiliana nax ni kumpenda tena???We hujawahi wasiliana na x wako hata mmoja?
 
Kama kweli vile... mwanamke upendo ukiisha anakutazama tu hata ulale na mwanamke mbele yake
 
Wewe kilichokufanya usave tena hiyo namba ya ex wako ni Nini? Huu ndio Huwa tunaita "ugulu ugulu" tatizo unalijua wewe ndiye mkorofi halafu haya mambo ya ex ex haya yanaharibu sana siku hizi mtu ulishaachana naye ukaanza maisha yako mawasiliano yanini tena??? Kama unadai unampenda fungal safari uende mkazungumze mapenzi ni gharama eboo....!!!!!
 
Jaman kuwasiliana nax ni kumpenda tena???We hujawahi wasiliana na x wako hata mmoja?
Wewe ukimkuta mpenzi wako anawasiliana na Ex wake na namba ulishafuta kaisave tena utapata picha gani? Ukiachana na mtu hakuna sababu yoyote ya kuendelea kuwasiliana nae ama la ni njia ya kuendelea kupasha viporo.
 
Kuna demu nimelala nae hapa anakata simu kila dakika, then naona kabloku namba alafu naona anambloku mtu Instagram, Facebook, Twitter, WhatsApp, sijui huyo jamaa kamuuzi nini hapa songea.
Hahaha
 
Idiot
 
Tufanye icho ulichokifanya angekifanye yeye alafu akakwambia ni mazungumzo ya kawaida tu ungekubali?
Mshika mbili moja umponyoka nenda kwa ex kajipoze machungu.

Maex wakishaona Mambo yako yanaenda kuwa mazuri wanageukaga wachawi
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…