sharifa mohamedi
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 247
- 266
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Huna haja ya kulalamika Mkuu, mkeo amekuachia makinikia hapo ndani aiseeeee.....[emoji2] [emoji2]
Mkuu nimekuelewa sana uko vizuri,,nimempa ushauri lakini inaonekana hayupo tayare kupokea ushauri,,View attachment 523747Sina maana ya kukuharibia uzi lakini wakati mwingine muwe makini. Watu wanaumiza vichwa kuwashauri kumbe mnawa kejeli tu. Sasa inawezekanaje uwe mwanamke Juzi na leo uwe Mwanaume tena mwenye mke??? Kuweni makini wana JF mnaoumiza vichwa kuto ushauri wengine ni watu wa ajabu ajabu kama huyu
mmejitenga wenyewHuu uzi mbona mmetutenga wanawake
Isije kuwa mtoa mada ndiyo unamsafirisha kusudi...
Isije kuwa mtoa mada ndiyo unamsafirisha kusudi...
Unachapiwa we falaSina maneno mengi Sana ILA Naombeni ushauri kwa hili, ninaishi na mke na tumebarikiwa kupata watoto wawili.
Kilichofanya nije kuomba ushauri hapa Ni kuwa kwa sasa ruti za mke wangu kwenda kwao moshi haziishi, na wakati mwingine hukaa hadi miezi miwili bila sababu ya maana.
Ana mdogo wake WA kike kamaliza form six ndo nimebaki nae hapa.
Nisipopiga Sana kelele za yeye kuja haji hadi nipige kelele ndo aje, na Kuna wakati mdogo wake huniambia Shemeji bwana kama hataki kuja mwache hadi atakapoamua mwenyewe, .
Ndugu zangu wamesema hadi wamechoka.
Tafadhali nishaurini Ni uamuzi gani nifanye kwa Mara ya mwisho maana hadi hivi navyoandika hapa yupo kwao.
Matusi sio mazuri, nahitaji ushauri
Fuatilia hizo safari, si kila safari yuko kwao, ila utakayokutana nayo yatakupa point ya kuanzia maamuziSina maneno mengi Sana ILA Naombeni ushauri kwa hili, ninaishi na mke na tumebarikiwa kupata watoto wawili.
Kilichofanya nije kuomba ushauri hapa Ni kuwa kwa sasa ruti za mke wangu kwenda kwao moshi haziishi, na wakati mwingine hukaa hadi miezi miwili bila sababu ya maana.
Ana mdogo wake WA kike kamaliza form six ndo nimebaki nae hapa.
Nisipopiga Sana kelele za yeye kuja haji hadi nipige kelele ndo aje, na Kuna wakati mdogo wake huniambia Shemeji bwana kama hataki kuja mwache hadi atakapoamua mwenyewe, .
Ndugu zangu wamesema hadi wamechoka.
Tafadhali nishaurini Ni uamuzi gani nifanye kwa Mara ya mwisho maana hadi hivi navyoandika hapa yupo kwao.
Matusi sio mazuri, nahitaji ushauri