Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna hizo mila moshiHivi kumbe kuna mila hizo moshi
Jaribu kumpeleleza huko nyumbani kwao ni nini anafanya hasa na hata akiwa nyumbani jaribu kuchunguza mienendo yakeSijagundua chochote Mkuu
Aisee.. Inabidi nifunge jalada sasa, Mkuu unacheza kama ngolo kante... Hongera mkuuPole sana mkuu, sababu inayompeleka huko kwao ni nini??
Pole sana mkuu, sababu inayompeleka huko kwao ni nini??
Umesema ni Mke wako kama sijakosea?wakati anaondoko si mnakua mmesha agree kua anarudi siku flani? iweje abadilishe may be tuseme a day or two its fine akichelewa lakini sio that long,wewe ni mume na una mahitaji yako kwake,na hao wazee wake hawajui kama huyo ni mke wa mtu mpaka wajisahau,mke wako ana bahati sanaa Babangu sijui nimuite Old fashion hulali nyumbani kwake mpaka amepata simu au Talaka kutoka kwa mumeo ndio unalala hapo na anamuliza my Hubby mkeo yuko hapa for how long? wajukuu zake 24/7 ila mimi anakwambia No wewe ni mke wa mtu amri inatoka kwa mumeo ya kuja nakuondoka sio kwangu na hata nikiwa naumwa watoto wangu wa kike wakifika sawa hawajafika sawaAnasema Mara anaenda kusalimia, Mara babake anaumwa.