kampelewele
JF-Expert Member
- Oct 13, 2014
- 2,975
- 2,370
Ukienda kwao watakuwa Upande wake, hujui moshi wewePole sana mkuu,, jaribu kwenda kwao na itisha kikao kidogo cha family ili kupata shuruhisho,,na pia ukienda kwao utajua mengi,,...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukienda kwao watakuwa Upande wake, hujui moshi wewePole sana mkuu,, jaribu kwenda kwao na itisha kikao kidogo cha family ili kupata shuruhisho,,na pia ukienda kwao utajua mengi,,...
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] asa siatakua anakula kuku na mayai yake??Huna haja ya kulalamika Mkuu, mkeo amekuachia makinikia hapo ndani aiseeeee.....[emoji2] [emoji2]
Jirani haujambo?Hiv kumbe ndoa zipo hvyo Miez miwili mtu anasepa ananiacha na mdogo wake daah akirud anakuta manyoya
Poa mkuuu..ila kawaidaAisee.. Inabidi nifunge jalada sasa, Mkuu unacheza kama ngolo kante... Hongera mkuu
Sijambo nasikia na wewe una hyo michezo Jiran ya kurud kwenu miez sitaJirani haujambo?
hapana aisee, hii ni zaidi ya kawaida.Poa mkuuu..ila kawaida
Sikuolewa kwa bahati mbaya jirani.Sijambo nasikia na wewe una hyo michezo Jiran ya kurud kwenu miez sita
Sikuolewa kwa bahati mbaya jirani.
Jirani nisome vizuri tena.We juz c ulikua umeolewa?
Jirani nisome vizuri tena.
Hiyo sentensi haina alama ya mkato popote!
Zipo,tembea tuu ujioneeHivi kumbe kuna mila hizo moshi