Naombeni ushauri wanaume wenzangu

Naombeni ushauri wanaume wenzangu

Huna haja ya kulalamika Mkuu, mkeo amekuachia makinikia hapo ndani aiseeeee.....[emoji2] [emoji2]
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] asa siatakua anakula kuku na mayai yake??
 
Vipi mshajenga? Mna mtuka!! jaribu kula mdogo mtu mila itimie kama utamaliza mwaka
 
upload_2017-6-14_12-46-26.png
Sina maana ya kukuharibia uzi lakini wakati mwingine muwe makini. Watu wanaumiza vichwa kuwashauri kumbe mnawa kejeli tu. Sasa inawezekanaje uwe mwanamke Juzi na leo uwe Mwanaume tena mwenye mke??? Kuweni makini wana JF mnaoumiza vichwa kuto ushauri wengine ni watu wa ajabu ajabu kama huyu
 
Mwache akae kwao siku Akirudi amkute mdogo wake umemtia ujauzito wa miezi kadhaa atajua maana ya ndoa
 
Back
Top Bottom