NDIZI MSHARE
Member
- Aug 3, 2012
- 25
- 4
Zingatia style mama!baba asije akataka style kama za kwenye porn!mtaaribu mambo!
Kitu tartiiiiiibu kiustaarabu kupanua njia!
Ukiacha njia itakuwa nyembamba na itakupa tabu kujifungua so kisu kinawezekana kikatumika!
Mwambie tu baba apige kistaarabu
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Hapo kwenye kupanua njia siungi mkono hoja 100%; njia huanza panuka yenyewe kutokana na mabadiliko ya vichochocheo vya mimba. Tena ka ni mchunguzi utagundua tu!
Mkuu mimi dokta alimshauri wife hivyo ndio maana!labda kama aliniingiza chaka
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums