Pinda Nhenagula
Member
- Jan 26, 2019
- 87
- 113
Umemuelewa lakini?Omba mkopo tu, utasoma na saiz mkopo ni asilimia mia tu hakuna yale mambo sijui tisini Wala sifuri
Yaani Baba hataki kabisa kuniendeleza kimasomo anataka nisimamie mifugo yake.Nimejaribu pia anipe hata mtaji nianze biashasa hataki daahOmba mkopo tu, utasoma na saiz mkopo ni asilimia mia tu hakuna yale mambo sijui tisini Wala sifuri
Tatizo lingine tena uchumi kwa upande wangu mm ni mtoto tu sijiwezi.Naweza kukushauri ila sio lazima ufuate ushauri wangu kama haijakupendeza ,,kwanza wewe mkubalie tu usionyeshe kiburi...halafu matokeo yakitoka kama utakua umefaulu usiwashirikishe nyumbani fanya applications za mikopo na vyuo kimyakimya..ikitokea umepata mkopo nenda kasome
Habari ndg jamaa na marafiki humu kwenye jukwaa , Mimi ni kijana nimehitimu masomo yangu ya Kidato cha Sita mwaka huu ,nipo nasubiri matokeo yangu Lakini ajabu ni kwamba wazazi wangu hawataki niende chuo endapo hata nikifaulu wanataka nibaki nyumbani nioe mke na kuwasaidia nyumbani (kuzalisha mali "NG'OMBE" za familia) Vile vile hawataki nijitafutie kivyangu ×
JE NIFANYEJE WANAJUKWAA Maana nipo njia panda
Kwa mda huu unaosubiri matokeo unaweza ukatafuta kazi hata mashambani au za saidia fundi, ili upate walau application feesTatizo lingine tena uchumi kwa upande wangu mm ni mtoto tu sijiwezi.
Mzee Wako ana malengo mazuri sema tu hayaendani na wwYaani Baba hataki kabisa kuniendeleza kimasomo anataka nisimamie mifugo yake.Nimejaribu pia anipe hata mtaji nianze biashasa hataki daah
Kwahiyo chuo ninaweza Enda hata baada ya muda gani mkuuEleza zaidi, umezaliwa mwenyewe, kwa nini wewe? Wana ukwasi na mali za kiasi gani kuendeleza?
Unaweza enda chuo ukamaliza, kazi hakuna, miradi ya wazee imekufa, ukataabika sana.
Unaweza endeleza miradi ya wazee, ikafanikiwa, na chuo ukaenda tu baadae, chuo kipo tu milele.
Kujiendeleza kivyano ni sawa, ila kama vipo vy Mzee vya kuendeleza shida nini?
Kwahiyo chuo ninaweza Enda hata baada ya muda gani mkuu
Ukwel mimi lengo langu kubwa lilikuwa nisome chuo afu nitafute namna ya kujiari kupitia hiyo fani niitakayo . ndo hivo tena afu mm pia nilichelewa kusomeshwa shule now na umri 24yrs. Nifanye nini ili niyafikie MalengoKwahiyo chuo ninaweza Enda hata baada ya muda gani mkuu
SepaHabari ndg jamaa na marafiki humu kwenye jukwaa , Mimi ni kijana nimehitimu masomo yangu ya Kidato cha Sita mwaka huu ,nipo nasubiri matokeo yangu Lakini ajabu ni kwamba wazazi wangu hawataki niende chuo endapo hata nikifaulu wanataka nibaki nyumbani nioe mke na kuwasaidia nyumbani (kuzalisha mali "NG'OMBE" za familia) Vile vile hawataki nijitafutie kivyangu ×
JE NIFANYEJE WANAJUKWAA Maana nipo njia panda
Mimi ndo navyofikiriaSepa
24yrs n mtu mzima na unamaamuz yko lkn pia ushauri wa mzee wako n mzuri km utanufaika na hiyo mirad ya mzee wako fanya hivyo afu utajiendeleza huko badae maamuz yko ndo matokee ya kesho kwa sasa hivi subir kwanza matokeoUkwel mimi lengo langu kubwa lilikuwa nisome chuo afu nitafute namna ya kujiari kupitia hiyo fani niitakayo . ndo hivo tena afu mm pia nilichelewa kusomesha shule now na umri 24yrs. Nifanye nini ili niyafikie Malengo