Naombeni ushauri wenu jamani kwenye hii biashara ya kusaga mahindi

Inataka mtaji mkubwa vinginevyo uwe na mbinu za au watu wa kushirikiana nao ingawa mbinu hii inakufanya uone faida kuwa ndogo kwakuwa itagawanyika zaidi.
 
Nilichojifunza katika biashara ni kutokufanya hesabu kabla ya kuanza.
Hesabu zitakupoteza na kukukatisha tamaa. Ndiyo maana wafanyabiashara wengi hawajui kitu kinaitwa RISK analysis. Yeye akiona fursa anayo na anatusua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…