Naombeni ushauri wenu kwenye hili

Mshirikishe kila kitu boss wako atajua cha kufanya labda kama still unampenda!
Kwanza uneshapata mpenzi mpya?
 
Kwanza kabisa niseme pole Leejay49 Kwa kukutana na changamoto kama hzi za kimahusiano na maisha general. Sijawahi kufikiria kama Kuna wanawake Wana umia na Wanahis chochote kwenye hili dubwana. Lakin pia Kwa linaloendelea sasa ni heri umripoti polisi mana hakuna mtu mwenye HAKI ya kuingilia uhuru wa maisha ya mtu mwingine isipokuwa sheria.
Hilo ni kosa kama makosa mengine, wew mshtaki na atafunguliwa jarida kwani lengo lake sio zuri hata kidogo. Kwa msaada mwingine kisharia wasiliana na Wlac
 
Asante kwa ushauri mkuu πŸ™πŸΌ
 
Unauliza mavumbi stoo?
 
Huyu bwana ulishamuonjesha au ilikuwa bado??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…