Hi kwa wana JF wote:
Nachukua nafasi hii kwa dhati kuwaandikia vijana wenzangu na walionizidi umri nikitaka ushauri kutoka kwenu. Mimi nimesoma mpaka form six na kubahatika kujiunga na chuo kikuu kimoja hapa tanzania katika kozi ya UALIMU na kwa sasa nipo mwaka wa 2.
Kwa sasa Nimepata nafasi ya kusoma diploma ya maabara katika chuo kimojawapo hapa tanzania muda wa miaka 3.
Naombeni ushauri nifanyaje
Nachukua nafasi hii kwa dhati kuwaandikia vijana wenzangu na walionizidi umri nikitaka ushauri kutoka kwenu. Mimi nimesoma mpaka form six na kubahatika kujiunga na chuo kikuu kimoja hapa tanzania katika kozi ya UALIMU na kwa sasa nipo mwaka wa 2.
Kwa sasa Nimepata nafasi ya kusoma diploma ya maabara katika chuo kimojawapo hapa tanzania muda wa miaka 3.
Naombeni ushauri nifanyaje