Nina Tshs 1,000,000/= nataka kuanzisha biashara. Ninazo idea mbili tofauti kichwani:-
1. Nifungue duka la vitu vya nyumbani kmf. chumvi, sabuni, unga, mchelle, mafuta n.k
2. Nifungue Genge
Naomba ushauri ni biashara gani itakuwa feasible kwa hicho kianzio?