strawberry1
Member
- May 7, 2011
- 35
- 6
Nina Tshs 1,000,000/= nataka kuanzisha biashara. Ninazo idea mbili tofauti kichwani:-
1. Nifungue duka la vitu vya nyumbani kmf. chumvi, sabuni, unga, mchelle, mafuta n.k
2. Nifungue Genge
Naomba ushauri ni biashara gani itakuwa feasible kwa hicho kianzio?
1. Nifungue duka la vitu vya nyumbani kmf. chumvi, sabuni, unga, mchelle, mafuta n.k
2. Nifungue Genge
Naomba ushauri ni biashara gani itakuwa feasible kwa hicho kianzio?