Acha icho ulichoweka mdomoniNifanyeje nikikumbuka vya huku jf nisicheke peke yangu maana kuna mda unakuta natembea alafu nikikumbuka baadhi ya majibu ya member humu najikuta naangua kicheko peke yangu hadi najishtukia[emoji85][emoji85]
Sent using Jamii Forums mobile app
Jifinye usicheke au jazape bonge la kibao jichoni!Nifanyeje nikikumbuka vya huku jf nisicheke peke yangu maana kuna mda unakuta natembea alafu nikikumbuka baadhi ya majibu ya member humu najikuta naangua kicheko peke yangu hadi najishtukia[emoji85][emoji85]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushalewa...hahaha karibu hapa JTI near samaki samaki naifunda ballentine😊Wangari nimeziona hips dont lie kwenye avatar
View attachment 1761781
Nina dozi FlagylUshalewa...hahaha karibu hapa JTI near samaki samaki naifunda ballentine😊
hahahaondoka hapo stand
Wangari nimeziona hips dont lie kwenye avatar
View attachment 1761781
Mtume simama!
Hahhahahaa muoneMtume simama!
Labda niwe nimetoka jela.Hahhahahaa muone
Una ugwadu🤭Labda niwe nimetoka jela.
Huyo kimbaumbau sio mimi nimezowea vitoweo vyenye hipsUna ugwadu🤭
Wana joto hawa usiwachukulie poa😎Huyo kimbaumbau sio mimi nimezowea vitoweo vyenye hips
Hao Vimbaumbau anaweza akakuchoma goti likaingia kwenye kitambi halafu ikawa habari za kwenda kuambukizwa covidWana joto hawa usiwachukulie poa😎
Hahhahahahahahahaahahaha.....shindwa katika jina....Hao Vimbaumbau anaweza akakuchoma goti likaingia kwenye kitambi halafu ikawa habari za kwenda kuambukizwa covid