Azimio la kazi
Senior Member
- Jun 7, 2023
- 138
- 452
Iko chama kitaendeshwa kwa Fedha ya nani tujue kwanza.Habari kwenu Wana bodi,
Mimi ni Kijana wa kitanzania pia mwanafunzi wa shahada ya kwanza ya ualimu sayansi moja ya Chuo Kikuu hapa Tanzania.
Na malengo ya kuanzisha shirikisho la walimu wa masomo ya sayansi. Lengo langu ni nataka chombo hiki kitetee maslahi ya walimu hasa wa sayansi.
Naombeni ushauri. Je, mawazo yangu ni sahihi, na kama ni sahihi taratibu za usajili zipo vipi.
Asanteni sana, Mungu awabariki.
Nini maana ya shirikisho? Maslahi yapi ya walimu wa sayansi wapewe na sio walimu wote? Be careful, msipende kuropoka tu mnataka muendelee kuwajazia mavyama kibao walimu ili mpige pesa za wajinga,Shirikisho la walimu wa masomo ya sayansi. Lengo langu ni nataka chombo hiki kitetee maslahi ya walimu hasa wa sayansi.
Usinge pita kwa huu uzi [emoji3] ungekuwa batiliNini maana ya shirikisho? Maslahi yapi ya walimu wa sayansi wapewe na sio walimu wote? Be careful, msipende kuropoka tu mnataka muendelee kuwajazia mavyama kibao walimu ili mpige pesa za wajinga,