naombeni ushauri

naombeni ushauri

hebu edit kwanza habari yako.....mikoma yote hiyo ya nini.....?

mi hadi imenichefua kusoma, ngoja tu niende zangu siasani nikatafute stress loh!
 
mimi
co
jamaa
ni
binti.
na
cm
yangu
co
mchina
ni
samsung
original
ukiacha
space
unaingia
line
nyingine
kama
ivi
haya
nimekutafuta
wewe
nifundishe
twende
sawa.

naona umeamia airtel..
 
Huyo kachoka kuishi na ilibidi afe kabisa, sisi hatutaki wajingawajinga wanaokunywakunywa sumu ovyoovyo.
 
mimi
co
jamaa
ni
binti.
na
cm
yangu
co
mchina
ni
samsung
original
ukiacha
space
unaingia
line
nyingine
kama
ivi
haya
nimekutafuta
wewe
nifundishe
twende
sawa.

Kwani,wewe,ni,mgeni,hapa,ndani,mbona,sijawahi,kuona,hizi,swaga?
 
Hivi kumbe system ya kutafutiana wachumba ipo hadi leo?mbona mie hawanitafutii?lol!
Huyo aliyekunywa sumu hayuko vizuri kichwani, na kama amepona then mwachen aendelee na maisha yake hafai hata kua mume, ukimuudhi kidogo anakunywa sumu!
 
Back
Top Bottom