naombeni ushauri...!

naombeni ushauri...!

cantonna

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2013
Posts
1,120
Reaction score
439
nna 3 ya 14 ya hgk HIST-E,GEO-E na KISW D kwa matokeo haya nkasomee kitu gani na chuo gani?naombeni ushauri wa kiungwana ili npate suruhisho!!
 
Education inakufaa na mkopo uombe. Ila kama wewe suo mtoto mkulima kama sie omba vyuo private ujilipie na utapata vingi tu uchague mwenyewe.
 
Education inakufaa na mkopo uombe. Ila kama wewe suo mtoto mkulima kama sie omba vyuo private ujilipie na utapata vingi tu uchague mwenyewe.

nashkuru kwa ushaur wako!
 
Back
Top Bottom