Habari za wakati huu jamani, Ndugu zangu, nimechaguliwa teku-mbeya, chuo kimefungua jumatatu, wao wanataka 565000/= ndipo wanisajiri. Kila ndugu ninaye mwomba hela japo kidogo ananiambia hana kitu na anadai hali ni ngumu kwa sasa. Ndugu zangu, kwangu hii ni changamoto kubwa kwasababu sielewi napataje hiyo hela au nitapataje usajiri bila hela. Chuoni ( teku ) wanasema zikipita wiki mbili napigwa penati ya 50000/= Jamani naombeni mnisaidie mawazo au kwa namna yeyote ile niende chuo, namba yangu ni hii 0759 114 102.