Naombwa kujuzwa hatua za kufuata baada ya kupata ajali

Naombwa kujuzwa hatua za kufuata baada ya kupata ajali

cebran

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2014
Posts
278
Reaction score
684
Mimi ni mhanga wa huu mfululizo wa ajali, nilikua naomba kujuzwa hatua za kufuata baada ya kupata ajali ili niweze kufidiwa mana nilijeruhiwa na nimepata ulemavu
 
Hapo una haki ya kudai fidia kwa mmiliki wa gari lililosababisha hiyo ajali. Fungua kesi ya madhara (tort) mahakamani, hata hivyo hapa tz tuko nyuma sana kwa haya masuala.

Magari mengi hayakatiwi third party insurance, ambapo kampuni ya insurance au wakala huchangia kiasi kikubwa kumlipa mwadhiriwa
 
Back
Top Bottom