Jaman, kwanza nawasalimu kwa jina la mungu, na natumai ni wazima wa afya ila kama afya iko vibaya mungu akupe ahueni🙏
Wakuu mim ni mwanachuo naesoma Bachelor of education in science (physics).
Naombeni maoni yenu kama wakubwa zangu wenye upeo mkubwa juu ya hii kozi yangu kama mnavojua changamoto za ajira, mishahara na mengineo.
Nakalibisha mjadala, naomba tuchangie maoni yoyote.
Mungu awape mchana mwema🙏🙏
Wakuu mim ni mwanachuo naesoma Bachelor of education in science (physics).
Naombeni maoni yenu kama wakubwa zangu wenye upeo mkubwa juu ya hii kozi yangu kama mnavojua changamoto za ajira, mishahara na mengineo.
Nakalibisha mjadala, naomba tuchangie maoni yoyote.
Mungu awape mchana mwema🙏🙏