Naomobeni maoni kuhusu faida na changamoto za ajira kwenye Bachelor of Education in Science (Physics)

Naomobeni maoni kuhusu faida na changamoto za ajira kwenye Bachelor of Education in Science (Physics)

Kwa kifupi kijana Usha yakoroga, yaan hata education wanapewa kipaumbele wenye masomo mawili. Sasa hio physics yako sijui itakusaidia Nini? Ni Bora ungesoma physics na chemia kwa upande wa education.
 
Unaacha masomo au unapostpone,kisha unaomba kozi yenye global impact,kama kilimo,uvuvi,forestry,animal science etc........achana na ualimu,95% ya walimu wapo underpaid
Tatiz halipo kweli mkuu, mana nisha sain mkopo na boom
 
Kwa kifupi kijana Usha yakoroga, yaan hata education wanapewa kipaumbele wenye masomo mawili. Sasa hio physics yako sijui itakusaidia Nini? Ni Bora ungesoma physics na chemia kwa upande wa education.
Ngoja tukubali uhalisia tu
 
Kama ulipokuwa unasoma kuanzia form one Hadi form six ulikuwa mtu wa Tuition ukiwa mualimu wa hilo somo utainjoi sana na kuwa mwalimu mzuri sana na hatimaye kupiga pesa katika shule za serikali na Private

Ila kama ulikuwa mwanafunzi wa darasani tu utakuwa na maisha magumu sana

Wale waliosoma tuition za Mchikichinii na Mwenge miaka 2000 watanielewa
 
Tatiz halipo kweli mkuu, mana nisha sain mkopo na boom
Yaani mkopo ambao haufiki hata milioni 10 kwa mwaka ndio uje ukutese maisha Yako yote?
Ukiwa serious na maisha ukaenda kupiga global impact courses,conference Moja tu ukihudhuria unaweza lipwa hadi milioni 12,
Mfano mtu aliyepiga fisheries na aquaculture hapo UDSM ana 97% ya kutoboa kutoboa kulikl wewe,.......why?
Ualimu ni local course,watoto wa Korea na Japan,hawasomi SAWA na wa bongo,ila fisheries,agriculture,health system ni global worldwide..........narduia Tena mkuu achana na ualimu,ni kitu kimeua ndoto za vijana wengi sana hapa nchini
 
Yaani mkopo ambao haufiki hata milioni 10 kwa mwaka ndio uje ukutese maisha Yako yote?
Ukiwa serious na maisha ukaenda kupiga global impact courses,conference Moja tu ukihudhuria unaweza lipwa hadi milioni 12,
Mfano mtu aliyepiga fisheries na aquaculture hapo UDSM ana 97% ya kutoboa kutoboa kulikl wewe,.......why?
Ualimu ni local course,watoto wa Korea na Japan,hawasomi SAWA na wa bongo,ila fisheries,agriculture,health system ni global worldwide..........narduia Tena mkuu achana na ualimu,ni kitu kimeua ndoto za vijana wengi sana hapa nchi

Yaani mkopo ambao haufiki hata milioni 10 kwa mwaka ndio uje ukutese maisha Yako yote?
Ukiwa serious na maisha ukaenda kupiga global impact courses,conference Moja tu ukihudhuria unaweza lipwa hadi milioni 12,
Mfano mtu aliyepiga fisheries na aquaculture hapo UDSM ana 97% ya kutoboa kutoboa kulikl wewe,.......why?
Ualimu ni local course,watoto wa Korea na Japan,hawasomi SAWA na wa bongo,ila fisheries,agriculture,health system ni global worldwide..........narduia Tena mkuu achana na ualimu,ni kitu kimeua ndoto za vijana wengi sana hapa nchini
Je nikimaliza mfano hii degree naweza kusoma kozi nyingne na nikaruhusiwa?? Mara tu baada ya kuhitimu mfano nursing???
 
Jaman, kwanza nawasalimu kwa jina la mungu, na natumai ni wazima wa afya ila kama afya iko vibaya mungu akupe ahueni🙏

Wakuu mim ni mwanachuo naesoma Bachelor of education in science (physics).

Naombeni maoni yenu kama wakubwa zangu wenye upeo mkubwa juu ya hii kozi yangu kama mnavojua changamoto za ajira, mishahara na mengineo.

Nakalibisha mjadala, naomba tuchangie maoni yoyote.

Mungu awape mchana mwema🙏🙏
Kuna jamaa humu nae kasomea physics ila ndio hivyo nipo nae hapa kitaa nimempa boxer used awe anaingiza shilling mbili tatu.
 
Jaman, kwanza nawasalimu kwa jina la mungu, na natumai ni wazima wa afya ila kama afya iko vibaya mungu akupe ahueni🙏

Wakuu mim ni mwanachuo naesoma Bachelor of education in science (physics).

Naombeni maoni yenu kama wakubwa zangu wenye upeo mkubwa juu ya hii kozi yangu kama mnavojua changamoto za ajira, mishahara na mengineo.

Nakalibisha mjadala, naomba tuchangie maoni yoyote.

Mungu awape mchana mwema🙏🙏
Utakuwa unasoma/kukesha prep kama wanafunzi wako hadi utakapozeeka.
 
Je nikimaliza mfano hii degree naweza kusoma kozi nyingne na nikaruhusiwa?? Mara tu baada ya kuhitimu mfano nursing???
Unaweza soma degree hata 100,lakini je:-
Wewe hapa duniani utaishi miaka 200?,hauna kazi za kufanya?,hautakua na familia?,nani huyo akupe tu hela usome kama chizi.
Fanya maamuzi ukiwa kijana,njia nzuri ya kwena unapotaka kwenda ni kuacha kwenda pale unapoona hapana umuhimu wa kwenda sio eti usubiri hadi mwisho wa kupotea ndio uanze upya😃😁,
Huo ni upumbavu
 
Tunachelewa kutoboa mkuu,ila ukiweka malengo yako poa unaweza
Hatuchelewi but tunataka kukaa kwenye majiji makubwa yenye ushindani kiwanja mil.10 na kuendelea!badala ya kwenda wilaya za kati ili upate space ya kujipambanua!!

Pressure zinazotokana na macho yaani mfano unataka Jenga lijumba kubwa lenye paa kwenda juu la msauzi kama mnara wa babeli matokeoyake gharama zinabeba mtaji wa miaka 15 mbele!!

Lazima maendeleo yataenda Kwa mwendo wa kobe tu hamna namna!!!
 
Physics ni optional kuanzia fom one ya 2025!

Itoshe kusema nusu ya wanafunzi wataipiga chini mwezi WA sita tu.

Physics Haina dili tena.
 
Jaman, kwanza nawasalimu kwa jina la mungu, na natumai ni wazima wa afya ila kama afya iko vibaya mungu akupe ahueni🙏

Wakuu mim ni mwanachuo naesoma Bachelor of education in science (physics).

Naombeni maoni yenu kama wakubwa zangu wenye upeo mkubwa juu ya hii kozi yangu kama mnavojua changamoto za ajira, mishahara na mengineo.

Nakalibisha mjadala, naomba tuchangie maoni yoyote.

Mungu awape mchana mwema🙏🙏
Upo mwaka wa ngspi?
Siku wanapunjwa mishahara sana sawa na wa art ktk sekta binafsi.


Physics ni broad subject so kuwa makini. Unaweza maliza ukawa mediocre graduate bila kujali A na B ulizopata.

Ushauri wangu :
Jikite ktk technical skills japo department ya Fizikia(udsm) haina kama hawajabadili mtaala.Ssa wewe ufanya option( very important).
Fanya option ya
- graphics design
-computer maintainance and installation
-Introduction to computer science
-computer programming
-computer programming kamac/java ++ na python,html,css na javascript.
-data base evelpment au maintanance
-digital circuits ipo department ya IS
-Electronic science(huwa hawaimalizi hii kozi, wewe ongeza mpaka microprocessor na microcontroler, device troubleshooting nk) hii itakusaidia ukiamua kujiongeza kufanya electronics devices troubleshooting and system design kama simu na tv, nk.
-Electromagnetism, hii topic ina kila uchafu wa kila kitu kilichoundwa na binadamu, kuanzia simu,computer. Motor nk. Ni msingi wa teknolojia ya vitu vyote vya umeme. Nimejikita zaidi iwapo utakosa ajira za mashuleni na vyuoni.
Mtaala wa fizikia huwa wa kiduwanzi haukupi tecnical skills za ulimwengu wa sasa labda kama kuna mabadiriko.
 
Je nikimaliza mfano hii degree naweza kusoma kozi nyingne na nikaruhusiwa?? Mara tu baada ya kuhitimu mfano nursing???
Naona hajakujibu. Physics inakuwezesha kusoma post graduate kozi zote za. IT na engineering(udsm na Udom) sina hakika kuhusu mambo ya fedha unaweza kuta napo fursa ipo. Post graduate huwa mwaka 1 tu unakuwa engineer. Kwa hio wasikukatishe tamaa.
Shida ya TZ hakuna career developer, guider nk. Chuoni hapo kuna washauri mnapangiwa nenda muone mshauri wako atakupaa mengi unawezaje kujinusuru. Kumbuka unapigania maisha yako, chuja na chukua optimal advice.
 
kikubwa ni kuanza kuifanyia kazi mapema sana Mfano ukienda field kajitume sana. Kwenye likizo za Chuo tafuta Shule za kujitolea kapige kazi. Hapo utatoboa mapema sana.
 
Back
Top Bottom