Naona ACT Wazalendo kuiondoa CCM Madarakani 2025

Naona ACT Wazalendo kuiondoa CCM Madarakani 2025

Aisee hii chai ni balaa sana,chai ya jioni mzee.

Hussein mwinyi ni mtu ambae huwezi kumsema vibaya zanzibar,watasema tu kwamba Ccm wabaya ila ikija kwa mwinyi kila mtu atakuambia kwamba jjamaa ni mstaarabu na mtendaji.

Acheni kudanganyana mimi siandiki siasa naandika uhalisia
Case of Zanzibar is just about 'Union ' agreement and legalibility
 
Back
Top Bottom