Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwinyi anakubalika Zanzibar as mwinyi na sio as CCM.WATU WANAANDIKAGA USHABIKI TU MWINYI WATU WANA MKUBALI SANA TU
Mwinyi ametumia nguvunyingi sana kujikubalisha zanziba, naamefanikiwa sasaivi wanamuelewa sana, nikama hapa bara tu ambapo watu walimkubali Magu 2020 na sio ccm.Mwinyi anakubalika Zanzibar as mwinyi na sio as CCM.
..Ustaarabu wa Hussein Mwinyi utaujua wakati kuna tishio la CCM kushindwa uchaguzi.
Case of Zanzibar is just about 'Union ' agreement and legalibilityAisee hii chai ni balaa sana,chai ya jioni mzee.
Hussein mwinyi ni mtu ambae huwezi kumsema vibaya zanzibar,watasema tu kwamba Ccm wabaya ila ikija kwa mwinyi kila mtu atakuambia kwamba jjamaa ni mstaarabu na mtendaji.
Acheni kudanganyana mimi siandiki siasa naandika uhalisia
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mwinyi anakubalika Zanzibar as mwinyi na sio as CCM.
🥱🥱🥱🥱🥱🥱🥱🥱Nikiwatoa Zitto Nondo Shaibu
Haya nitajie viongozi wengine 10 tu wa ACT unaowajua hapa Tanganyika
Alliance of Traitors (ACT)