Naona aibu kuuza maji barabarani nisaidieni

Binadamu wengine ni heri kubeba mzigo wa miba juu ya kichwa chenye upara.
 
Kunywa hayo maji, na MO shida ni kushiba.
Kama vipi njoo kwa Mpemba anataka mtu wa ndani kupika mazaga hutaonekana ni fenced house, ila ukubali kuvaa apron ukiwa jikoni na uwe unaoga ili kuwa msafi
 
Tupe mrejesho.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa akili hizo lzma shemej akutimue,,pole sana.

Degree is just a piece of paper's alisikika fundi welding mmoja.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kunywa hayo maji, na MO shida ni kushiba.
Kama vipi njoo kwa Mpemba anataka mtu wa ndani kupika mazaga hutaonekana ni fenced house, ila ukubali kuvaa apron ukiwa jikoni na uwe unaoga ili kuwa msafi
Mpemba haaminiki
 
Hapa watu wanakunanga lakini niamini mimi hakuna ambaye angefanya hiyo kazi sooner baada ya kupata hiyo degree
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…