Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,030
- 20,391
Habari wakuu bila shaka leo ndio tarehe yenyewe yaani mabadiliko ya miamala kwenye mifuko ya simu yameanza kutumika.
Bila shaka kila mtu ambaye anafanya miamala kwenye simu amekumbwa na hilo pia najua limewasikitisha na hapo ndo maana halisi ya neno la Rais Samia kwamba wampe mda ajenge kwanza uchumi
Mitandao ya simu inaenda kupata pigo au Anguko la miamala kwa mitandao yote kwa sababu ongezeko la makato litawafanya watumiaji wengi wa simu kwa ajili ya miamala kuanza kutumia Benki.
Pia ongezeko hili ni pigo tosha kwa wananchi hasa na wale ambao wanakaa maeneo ambayo mabenki yenye Makao nafuu hayapatikani.
Mabadiliko ya miamala yaliyo fanyika ni kama ifuatavyo
GHARAMA ZA KUTOA NA KUTUMA PESA KWA NJIA YA SIMU KUANZIA LEO TAREHE 15/07/2021
•Kutoa 100,000 ilikua 3600 sasa hivi 6,100
•Kutoa 200,000 ilikua 5,300 sasa hivi 8,240
•Kutoa 300,000 ilikua 6,500 sasa hivi 10,000
•Kutoa 400,000 ilikua 7,000 sasa hivi 11,100
•Kutoa 500,000 ilikua 7,500 sasa hivi 12,700
•Kutoa 600,000 ilikua 8,000 sasa hivi 13,900
•Kutoa 700,000 ilikua 8,000 sasa hivi 15,100
•Kutoa 800,000 ilikua 8,000 sasa hivi 15,520
•Kutoa 900,000 ilikua 8,000 sasa hivi 16,900
•Kutoa 1,000,000 ilikua 8,000 sasa hivi 17,400
•Kutoa 3,000,000 ilikua 10,000 sasa hivi 20,000
List hii inaonyesha Makato ya Zamani na Makato yatakavyokua kuanzia leo tarehe 15/07/2021
Mimi kama mzalendo mpya nasema kwamba mifumo ya utawala wa
ni takataka mnabisha haya twendeni sasa.
Najua mtashangaa kwamba nimeanza kuiponda CCM lini lakini ndio hivyo mimi ni mzalendo mpya.
Tupende nchi yetu.
Bila shaka kila mtu ambaye anafanya miamala kwenye simu amekumbwa na hilo pia najua limewasikitisha na hapo ndo maana halisi ya neno la Rais Samia kwamba wampe mda ajenge kwanza uchumi
Mitandao ya simu inaenda kupata pigo au Anguko la miamala kwa mitandao yote kwa sababu ongezeko la makato litawafanya watumiaji wengi wa simu kwa ajili ya miamala kuanza kutumia Benki.
Pia ongezeko hili ni pigo tosha kwa wananchi hasa na wale ambao wanakaa maeneo ambayo mabenki yenye Makao nafuu hayapatikani.
Mabadiliko ya miamala yaliyo fanyika ni kama ifuatavyo
GHARAMA ZA KUTOA NA KUTUMA PESA KWA NJIA YA SIMU KUANZIA LEO TAREHE 15/07/2021
•Kutoa 100,000 ilikua 3600 sasa hivi 6,100
•Kutoa 200,000 ilikua 5,300 sasa hivi 8,240
•Kutoa 300,000 ilikua 6,500 sasa hivi 10,000
•Kutoa 400,000 ilikua 7,000 sasa hivi 11,100
•Kutoa 500,000 ilikua 7,500 sasa hivi 12,700
•Kutoa 600,000 ilikua 8,000 sasa hivi 13,900
•Kutoa 700,000 ilikua 8,000 sasa hivi 15,100
•Kutoa 800,000 ilikua 8,000 sasa hivi 15,520
•Kutoa 900,000 ilikua 8,000 sasa hivi 16,900
•Kutoa 1,000,000 ilikua 8,000 sasa hivi 17,400
•Kutoa 3,000,000 ilikua 10,000 sasa hivi 20,000
List hii inaonyesha Makato ya Zamani na Makato yatakavyokua kuanzia leo tarehe 15/07/2021
Mimi kama mzalendo mpya nasema kwamba mifumo ya utawala wa
CCM
Najua mtashangaa kwamba nimeanza kuiponda CCM lini lakini ndio hivyo mimi ni mzalendo mpya.
Tupende nchi yetu.