Bunge? Bunge au kikao Cha CCM?Swalama wandugu
Leo report ya CAG imejadiliwa na kufanyika maazimio na kuna haja ya adhabu ya kunyonga wezi wa pesa za umma narudia tena KUNYONGA inasikitisha sana MTU anaiba sehemu A anahamishwa sehemu B tukishindwa kuwanyonga turudishe AZIMIO LA ARUSHA.
Mwizi namba moja Tanzania alikuwa MagufuriBro si Kwa Tanzania labda angekuwepo Babulai #Magufuli hapa ukipata nafasi we Piga uokoe Nafsi yako nchi imeoza Sana Hii.
Ndiyo itungwe chaphakuna sheria ya kunyonga tanzania ni kifungo maisha .....
Hii ni ripoti ya awamu ya Magufuli na ripoti zote zilikuwa na wizi uliwahi kuona hata Bunge linajadili achilia mbali hatua kuchukuliwa?Bro si Kwa Tanzania labda angekuwepo Babulai #Magufuli hapa ukipata nafasi we Piga uokoe Nafsi yako nchi imeoza Sana Hii.
Mimi nashauri hiyo sheria isitungwe.Ndiyo itungwe chap
Ova
Bunge lipi? La huyo Betina? Hakuna kitu hapoSwalama wandugu
Leo report ya CAG imejadiliwa na kufanyika maazimio na kuna haja ya adhabu ya kunyonga wezi wa pesa za umma narudia tena KUNYONGA inasikitisha sana MTU anaiba sehemu A anahamishwa sehemu B tukishindwa kuwanyonga turudishe AZIMIO LA ARUSHA.
Empty head!Hii ni ripoti ya awamu ya Magufuli na ripoti zote zilikuwa na wizi uliwahi kuona hata Bunge linajadili achilia mbali hatua kuchukuliwa?
Hakuna awamu ilijaa majizi kama awamu ya 5 na hakuna aliyechukuliwa hatua ila ukiibua uozo unauawawa au kuzimwa [emoji116]
Empty head ni hii hapa 👇Empty head!
Alificha wapi pesa?,kwanini zisitaifishwe wewe ni [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]Mwizi namba moja Tanzania alikuwa Magufuri
Imbecile!Empty head ni hii hapa [emoji116]