Naona bunge laanza kujitambua sasa

Naona bunge laanza kujitambua sasa

Swalama wandugu
Leo report ya CAG imejadiliwa na kufanyika maazimio na kuna haja ya adhabu ya kunyonga wezi wa pesa za umma narudia tena KUNYONGA inasikitisha sana MTU anaiba sehemu A anahamishwa sehemu B tukishindwa kuwanyonga turudishe AZIMIO LA ARUSHA.
Hakuna kitu, akitoa Samia aksema SHUT UP AND SHUT UP FOREVER, kun atakaye funua domo kubwabwaja?
 
Bunge? Bunge au kikao Cha CCM?
Ni Bunge, of course ni Kikao cha Wabunge. Wabunge ni wawakilishi wa wananchi kutoka sehemu mbali mbali hupigiqa kura kwenye majimbo yao. Mbunge Mkuu ni Rais, yeye Jimbo lake ni Tanzania yote. Zoezi hili hufanyika kila miaka 5 kwa kupambanisha Ilani. Safari ya mwisho Mbunge Mkuu wa CCM alipata kura 87% huku Mbunge Mkuu wa CUF zittokabwemembe akizoa 2%. Mbunge Mkuu wa CHADEMA tundulissu 13%. Kwa hiyo ni kikao cha CCM 87% na CUF 0.2% na CHADEMA 12.8%.
 
Walamba asali Huwa hawanyongani

Ukiona wamechachamaa ujue kuna maelekezo wanayafuata kuhusu jambo FULANI!

Kama kuna mtu wanataka awajibishwe ndio wanapambana Hivyo!

Ngoja tusubiri!!
 
Swalama wandugu
Leo report ya CAG imejadiliwa na kufanyika maazimio na kuna haja ya adhabu ya kunyonga wezi wa pesa za umma narudia tena KUNYONGA inasikitisha sana MTU anaiba sehemu A anahamishwa sehemu B tukishindwa kuwanyonga turudishe AZIMIO LA ARUSHA.
Sheria ya kunyongwa ni moja utekelezaji wa sheria ya kunyongwa ni mbili.

Tanzania sheria ya kunyongwa ipo ila utekelezaji wa hiyo sheria hakuna hivyo mtu anaweza kufungwa kitungo cha maisha jela tu
 
Swalama wandugu
Leo report ya CAG imejadiliwa na kufanyika maazimio na kuna haja ya adhabu ya kunyonga wezi wa pesa za umma narudia tena KUNYONGA inasikitisha sana MTU anaiba sehemu A anahamishwa sehemu B tukishindwa kuwanyonga turudishe AZIMIO LA ARUSHA.
January Mwanangu……….nakuagiza tena.
 
Ni Bunge, of course ni Kikao cha Wabunge. Wabunge ni wawakilishi wa wananchi kutoka sehemu mbali mbali hupigiqa kura kwenye majimbo yao. Mbunge Mkuu ni Rais, yeye Jimbo lake ni Tanzania yote. Zoezi hili hufanyika kila miaka 5 kwa kupambanisha Ilani. Safari ya mwisho Mbunge Mkuu wa CCM alipata kura 87% huku Mbunge Mkuu wa CUF zittokabwemembe akizoa 2%. Mbunge Mkuu wa CHADEMA tundulissu 13%. Kwa hiyo ni kikao cha CCM 87% na CUF 0.2% na CHADEMA 12.8%.
Usilete utani na takwimu za kupika. Anza na Majaliwa kupita bila kupingwa, Makamba, Nape...na orodha nyingine asilimia 85% kupita bila kupingwa ndo ujue dhamira ilikuwa Nini..jibu: "bunge la chama kimoja". Ndilo lililopo Sasa, sawa na kikao Cha CCM tu.
 
Back
Top Bottom