Hakuna kitu, akitoa Samia aksema SHUT UP AND SHUT UP FOREVER, kun atakaye funua domo kubwabwaja?Swalama wandugu
Leo report ya CAG imejadiliwa na kufanyika maazimio na kuna haja ya adhabu ya kunyonga wezi wa pesa za umma narudia tena KUNYONGA inasikitisha sana MTU anaiba sehemu A anahamishwa sehemu B tukishindwa kuwanyonga turudishe AZIMIO LA ARUSHA.
Empty head ni hii hapa 👇
Ni Bunge, of course ni Kikao cha Wabunge. Wabunge ni wawakilishi wa wananchi kutoka sehemu mbali mbali hupigiqa kura kwenye majimbo yao. Mbunge Mkuu ni Rais, yeye Jimbo lake ni Tanzania yote. Zoezi hili hufanyika kila miaka 5 kwa kupambanisha Ilani. Safari ya mwisho Mbunge Mkuu wa CCM alipata kura 87% huku Mbunge Mkuu wa CUF zittokabwemembe akizoa 2%. Mbunge Mkuu wa CHADEMA tundulissu 13%. Kwa hiyo ni kikao cha CCM 87% na CUF 0.2% na CHADEMA 12.8%.Bunge? Bunge au kikao Cha CCM?
Sheria ya kunyongwa ni moja utekelezaji wa sheria ya kunyongwa ni mbili.Swalama wandugu
Leo report ya CAG imejadiliwa na kufanyika maazimio na kuna haja ya adhabu ya kunyonga wezi wa pesa za umma narudia tena KUNYONGA inasikitisha sana MTU anaiba sehemu A anahamishwa sehemu B tukishindwa kuwanyonga turudishe AZIMIO LA ARUSHA.
Zitatembea bahasha hapo chapu na ukimya utatawala soon.Bro si Kwa Tanzania labda angekuwepo Babulai #Magufuli hapa ukipata nafasi we Piga uokoe Nafsi yako nchi imeoza Sana Hii.
January Mwanangu……….nakuagiza tena.Swalama wandugu
Leo report ya CAG imejadiliwa na kufanyika maazimio na kuna haja ya adhabu ya kunyonga wezi wa pesa za umma narudia tena KUNYONGA inasikitisha sana MTU anaiba sehemu A anahamishwa sehemu B tukishindwa kuwanyonga turudishe AZIMIO LA ARUSHA.
Usilete utani na takwimu za kupika. Anza na Majaliwa kupita bila kupingwa, Makamba, Nape...na orodha nyingine asilimia 85% kupita bila kupingwa ndo ujue dhamira ilikuwa Nini..jibu: "bunge la chama kimoja". Ndilo lililopo Sasa, sawa na kikao Cha CCM tu.Ni Bunge, of course ni Kikao cha Wabunge. Wabunge ni wawakilishi wa wananchi kutoka sehemu mbali mbali hupigiqa kura kwenye majimbo yao. Mbunge Mkuu ni Rais, yeye Jimbo lake ni Tanzania yote. Zoezi hili hufanyika kila miaka 5 kwa kupambanisha Ilani. Safari ya mwisho Mbunge Mkuu wa CCM alipata kura 87% huku Mbunge Mkuu wa CUF zittokabwemembe akizoa 2%. Mbunge Mkuu wa CHADEMA tundulissu 13%. Kwa hiyo ni kikao cha CCM 87% na CUF 0.2% na CHADEMA 12.8%.
Chato.Alificha wapi pesa?,kwanini zisitaifishwe wewe ni [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]