Naona Bunge linapiga chafya

Ccm ni ileile tu wacha kudanganywa ndugu
 
Wenyewe ni majizi
 
Hilo bunge ni furahisha genge, kama kweli wanajiamini wafanye azimio la bunge kuwatoa baadhi ya mawaziri. Kinyume na hapo ni maigizo kama kawaida.
Upo sahihi kabisa
 
Wewe na wabunge wenu wote wapuuzi tu. Pesa yenu tutaila sana na hakuna wa kutufanya lolote.
 
Kama anapiga chafya... angalia kwenye paji la uso hakuna vijasho vidogo vidogo...? Kama vipo tuandae matanga hiyo sio dalili nzuri Kwa mgonjwa...😭😭😭​
 
Nimemuona Madelu amechanganyiikiwa
Yaani ni aibu kubwa sana kwa hawa watu
Halafu mwizi utaona anavyobabaika
Wabunge lazima watunge sheria sio tu uchaguzi ukikaribia ndio wanaanza kuangalia watakula nini miaka mitano mingine

Hizi kelele zitaisha wala hawatafanya kitu kwani wote wanajuana wanakula sahani moja
 
Kukemea hakuondoi ufisadi wala hauwatishi mafisadi,wizi uko palepale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…