Naona dalili za mechi ya kesho kutochezwa

Naona dalili za mechi ya kesho kutochezwa

Ili ni jambo la ajabu ata epl wana wadhamini zaidi ya 5, nike, hublot, panini, budweiser, EA . Lakini ata siku moja vilabu havitumii screen zao za uwanjani kuwatangaza. Mfano old Trafford, etihad huwezi kuta vitu kama hizo. Zingatia kesho simba ni mwenyeji ya mchezo so ana haki

Nafikiri haki ya mdhamini ingebaki kwenye vitu vingine.
 
eti tim mwenyeji ndiyo inagomea mchezo, tehe teheeee
 
Kuna watu wenye pesa zao wanaoneshana umwamba kupitia soka, hii Italeta shida siku za usoni. Em tusubiri kesho tuone Itakuaje.
 
Timu nzima ya simba hawana akili

Kwasasa nipo Mbagala zakhiem njooni mnikamate mniue
 
Timu nzima ya simba hawana akili

Kwasasa nipo Mbagala zakhiem njooni mnikamate mniue
Nani akuuwe wakati watani zako wa jadi ni Azam sio Simba.
Simba watani zake wa jadi wakina Mazembe uko matopeni tushatoka.
 
Nani akuuwe wakati watani zako wa jadi ni Azam sio Simba.
Simba watani zake wa jadi wakina Mazembe uko matopeni tushatoka.
Nendeni mkacheze ligi ya Kongo na watani zenu Mazembe

Ni vile hamna uwezo wa kugomea mechi hiyo kesho, cha kufanya ombeni timu yenu kesho ifike uwanjani ili tuwafunge goli za kutosha
 
Nendeni mkacheze ligi ya Kongo na watani zenu Mazembe

Ni vile hamna uwezo wa kugomea mechi hiyo kesho, cha kufanya ombeni timu yenu kesho ifike uwanjani ili tuwafunge goli za kutosha
Mabango ya gsm yametolewa kwa amri ya Mo,timu itaingia uwanjani na mtakula kipigo.
 
Mabango ya gsm yametolewa kwa amri ya Mo,timu itaingia uwanjani na mtakula kipigo.
Yaani kwa vyovyote vile hatutaki tuwakose kwenye mechi ya kesho na sababu yeyote itokee ila lazima kesho mfike pale Taifa tunajambo letu
 
Back
Top Bottom