Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safari hii mtauza had wake zenu kwa MayeleKila nikijaribu kukata tamaa naona sura ya fiston mayele ikitabasamu ndani ya stade ya al hilal Sijui ina maana gani
Hatari sana mkuu yani Yanga haina mchezaji zaidi ya Mayele, lakini Simba utasikia Chama kuna Okra kuna Phiri kuna Sakho wote wanafanya mambo lakini wao asubuhi Mayele mchana Mayele usiku MayeleSafari hii mtauza hadi wake zenu kwa Mayele
Shida yenu yanga mnajiangalia nyie tu, hamuangalii strength ya mpinzani au labda hamuwajui vizuri Al Hilal.Kila nikijaribu kukata tamaa naona sura ya Fiston Mayele ikitabasamu ndani ya stage ya Al-hilal Sijui ina maana gani
Hivi Mayele Ana ubora gan mkuu?? Kachukua tuzo ngap kwenye lig yetu?? Mi najua ubora wa mchezaji unaangaliwa kwa kuchukua tuzo. Yaan mchezaji hata kwao hawamjui ila unamjua wew tu ! Duu mna Kaz kweli kweliMayele anachukiwa sana na mashabiki kutoka upande fulani hivi! Na sababu wanayo bila shaka. Mtu gani yule! Kila mechi wakikutana, anawatetemesha tu.
Unaona wapi? Kwenye sufuria au karai?Kila nikijaribu kukata tamaa naona sura ya Fiston Mayele ikitabasamu ndani ya stage ya Al-hilal Sijui ina maana gani
Hivi Mayele Ana ubora gan mkuu?? Kachukua tuzo ngap kwenye lig yetu?? Mi najua ubora wa mchezaji unaangaliwa kwa kuchukua tuzo. Yaan mchezaji hata kwao hawamjui ila unamjua wew tu ! Duu mna Kaz kweli kweli
Ha ha ha[emoji23]Safari hii mtauza had wake zenu kwa Mayele