Kocha wa Yanga aoneshe ukubwa wake hapo sio kuja kuwafunga JKT pekee apange kikosi kizuri kutokana na kuwasoma wapinzani maana wao wametusoma sana na awe na nidhamu ya haya mashindano asiache wachezaji wote wanapanda kushambulia kama wapo na Ihefu atakuja kulia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.