mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Hawa watu ni vigumu kukuelewa mkuu. Huu muda ulioupoteza kuwaelezea haya ni vema ungeutumia kumfundisha ng'ombe hesabu za milinganyo angekuelewa lakini siyo hao jamaa zako. Zaidi utaambulia matusiKosa la kwanza la yanga ni kuamin kuwa wamekeza kuliko al hilal, waulize wanae mchezaj wa billion?
Kosa la pili la yanga ni kuamini wana wachezaji wenye ubora kuliko al hilal ukiwaambia wakupe mfano watamtaja aliyecheza new castle huku akiwa hana namba hapo yanga
Kosa la tatu la yanga ni kuamin katika historia kuliko uhalisia ukiwauliza watakwambia simba alitolewa kwa mkapa na jwaneng ila hawakumbuka kama simba nae aliwatoa al ismailia pale pale cairo
Kosa la nne la yanga ambalo ninkubwa zaidi ni kuamini kuwa wana watu wakati kiuhalisia wana mchezaj mmoja tu mwenye uwezo wa kuwapambania kimataifa nae ni morrison bahat mby hilo hawalijui wamejokuta wakimthamin azizi ambae hana rekod yoyote kimataifa, tafadhali msiseme aliwafunga simba msimu uliopita semeni aliishia hatua gan maana nyie mnaabudu watu wanaoifunga simba na kuwaona bora kama mayele ambae hana tuzo ya ufungaj bora tangu azaliwe
Kweli ATAWATOWA😁🤣 Ukisha amka utakuta kawatoa.Kila nikijaribu kukata tamaa naona sura ya Fiston Mayele ikitabasamu ndani ya stage ya Al-Hilal, sijui ina maana gani?
Mechi ngapi alizowatetemesha Simba?.yani magoli 2 ndo mnapoteza network..au lile goli la mwanza alifunga yeye. Yani mayele hamfikii hata robo Mugalu hahahaMayele anachukiwa sana na mashabiki kutoka upande fulani hivi! Na sababu wanayo bila shaka. Mtu gani yule! Kila mechi wakikutana, anawatetemesha tu.
Mara ya mwisho simba umemfunga lini kwenye ligi?Hiyo siku Makolo hawataamini [emoji16].
Afu tarehe 23 kama Kawaida yetu tunaenda kusuuza run*u.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mayele km mayele[emoji28][emoji28][emoji28]Safari hii mtauza had wake zenu kwa Mayele
Watajua hawajui maana wanajiona wamemaliza kila kitu.Maraa paap Simba ikatundikwa Happ Happ nyumbani alfu yanga tutapenyaa
Macabi lipopo anawasubiria huko hapa taifa viatu vyake vilikuwa vina mbana sanaMayele anachukiwa sana na mashabiki kutoka upande fulani hivi! Na sababu wanayo bila shaka. Mtu gani yule! Kila mechi wakikutana, anawatetemesha tu.
DuhMm nimewaambia yanga km wataifunga sudan waniite sokwe nimekaa hapo nacheka kichapo cha watu....
to me mayele ni mchezaji wa kawaida sana. si wa hivyo anavyozungumzwa. anapoteza sana nafasi. kwenye chances 7 anafunga goli moja. juzi tu kakosa chances 3 clear kafunga moja.Mayele anachukiwa sana na mashabiki kutoka upande fulani hivi! Na sababu wanayo bila shaka. Mtu gani yule! Kila mechi wakikutana, anawatetemesha tu.
utakunya kitandani mkuu amkaMaraa paap Simba ikatundikwa Happ Happ nyumbani alfu yanga tutapenyaa