chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Katika manaibu Waziri ambao nikiwaangalia naona taifa Lina hazina ya uongozi, ni hao vijana wawili, natamani waendelee kupata mentorship ya kiuongozi, wajibidishe kwa wananchi waliowapa kura, hao ndio base yao, na watanzania kwa ujumla.
Uongozi wa kitaifa uwalee na kuwapa mafunzo ya aina mbalimbali ili wajiimarishe ili wawe na makali ya kulihudumia taifa
Uongozi wa kitaifa uwalee na kuwapa mafunzo ya aina mbalimbali ili wajiimarishe ili wawe na makali ya kulihudumia taifa