Kwa Steven Byabato, naunga mkono hoja.Katika manaibu Waziri ambao nikiwaangalia naona taifa Lina hazina ya uongozi, ni hao vijana wawili, natamani waendelee kupata mentorship ya kiuongozi, wajibidishe kwa wananchi waliowapa kura, hao ndio base yao, na watanzania kwa ujumla.
Uongozi wa kitaifa uwalee na kuwapa mafunzo ya aina mbalimbali ili wajiimarishe ili wawe na makali ya kulihudumia taifa
Kabisa kabisa, naunga mkono hojaKwa Steven Byabato, naunga mkono hoja.
Dogo ana utulivu wa hali ya juu, au wajuvi wa mambo wanaweza kusema 'amepoa'. Haakurupuki hata akiwa anajenga hoja Bungeni.
Ni mnyenyekevu pia, labda aje abadilike huko mbeleni.
Msimtenge Ridhiwan jamani![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Katika manaibu Waziri ambao nikiwaangalia naona taifa Lina hazina ya uongozi, ni hao vijana wawili, natamani waendelee kupata mentorship ya kiuongozi, wajibidishe kwa wananchi waliowapa kura, hao ndio base yao, na watanzania kwa ujumla.
Uongozi wa kitaifa uwalee na kuwapa mafunzo ya aina mbalimbali ili wajiimarishe ili wawe na makali ya kulihudumia taifa
Anafaa hata nafasi kubwa zaidi nchiniBado mgeni, japo anapewa matukio mengi aonekane, ni kijana mzuri tu na yeye, akikaa hapo atakomaa kiuongozi
itakuwa unawaangalia ukiwa barKatika manaibu Waziri ambao nikiwaangalia naona taifa Lina hazina ya uongozi, ni hao vijana wawili, natamani waendelee kupata mentorship ya kiuongozi, wajibidishe kwa wananchi waliowapa kura, hao ndio base yao, na watanzania kwa ujumla.
Uongozi wa kitaifa uwalee na kuwapa mafunzo ya aina mbalimbali ili wajiimarishe ili wawe na makali ya kulihudumia taifa