Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Nimekuwa nawaza kuwa biashara kama hii inaweza kulipa. Ukiangalia kuna vitabu vimeuza sana duniani. Kuna vitabu kama think and grow rich cha Napoleon hill kimeuza nakala 70m, the hobbit 100m, series ya harry potter imeuza 450m na the 7 habits of highly effective people 25m. rich daddy poor daddy kimeuza nakala 26m.
Naamini ukivitafsiri kwa Kiswahili hivi vitabu na ukavitangaza hauwezi shindwa uza nakala 10,000-20,000. Nafikiri vitu muhimu ni kuelewana na wenye hati miliki, kupata watafsiri na namna ya ya uchapishaji.
Uchapishaji wa vitabu ni gharama ndogo sana. Mwaka juzi nilichapa kitabu cha page 60, paperback , karatasi nyeupe na lamination ya nylon kwa 1,200 kwa kitabu. Waliniambia siku nikitaka batch nyingine watanipunguzia labda kufika 900. Hii inamaana kitabu kama gifted hand chenye page 224 unaweza chapisha kwa 3,600. Hiki kitabu amazon kinauzwa dola 6 ambazo ni sawa na sh 10,500 mitaani wengi wanauza 15,000.
Challenge kubwa ya hii biashara ni usambazaji na kuitangaza.
Naamini ukivitafsiri kwa Kiswahili hivi vitabu na ukavitangaza hauwezi shindwa uza nakala 10,000-20,000. Nafikiri vitu muhimu ni kuelewana na wenye hati miliki, kupata watafsiri na namna ya ya uchapishaji.
Uchapishaji wa vitabu ni gharama ndogo sana. Mwaka juzi nilichapa kitabu cha page 60, paperback , karatasi nyeupe na lamination ya nylon kwa 1,200 kwa kitabu. Waliniambia siku nikitaka batch nyingine watanipunguzia labda kufika 900. Hii inamaana kitabu kama gifted hand chenye page 224 unaweza chapisha kwa 3,600. Hiki kitabu amazon kinauzwa dola 6 ambazo ni sawa na sh 10,500 mitaani wengi wanauza 15,000.
Challenge kubwa ya hii biashara ni usambazaji na kuitangaza.